
FIDEL CASTRO
Ni baada ya miaka 50 kupita ya vita ya kutoelewana hatimaye Desemba 17, 2014 Marekani na Cuba zilifikia makubaliano. Ikulu ya Marekani (White House) ilitangaza kuwa Marekani imerejesha mahusiano ya kidiplomasia na taifa la Cuba ambalo ni kisiwa kilichopo Maili 90 tu kutoka pwani ya Florida, na kufungua ubalozi huko kwa mara ya kwanza tangu Dwight Eisenhower akiwa Rais.

0 Comments