Rapa kutoka Marekani Desiinger aliyefanya maajabu kupitia rekodi yake ya “Panda” amesema alinunua biti au mdundo wa wimbo huo kwa kiasi cha dola $200 ambayo ni kama laki nne na nusu ya kibongo.
Desiinger anasema “ Nilikuwa na washkaji zangu tuna vuta bangi tu ngani ya nyumba huku tukicheza GTA [Grand Theft Auto] mshkaji wangu akapiga wimbo kutoka kwenye computer na kuniuliza kama naweza andika kitu kwenye mdundo huo,biti hio ilikuwa Youtube tu na baada ya siku mbili nikautoa wimbo huo“.


0 Comments