Baada ya kusajiliwa na klabu ya Manchester United kutoka Juventus ya Italia kwa ada iliyoweka rekodi mpya ya pound milioni 89, Paul Pogba amepewa jezi namba 6 mgongoni ambayo pia alikuwa akivaa namba hio alipokuwa Juventus kabla ya kupewa jezi namba 10.
Hizi ni picha zake kutoka Man United.





0 Comments