Leo ikiwa ni tarehe 22.9.2016 ni siku ya mnyama Kifaru Duniani, Mnyama ambaye ni moja kati ya vivutio vikubwa vya watalii wengi wawapo mbugani, ila naomba kukujuza kuwa Licha ya Umbo kubwa la Kifaru ila kifaru huwa ana "Ubongo Mdogo" sana ila haimaanishi kuwa hana akili kabisa. Ichukue hiyo kutoka katepahot.blogspot.com
0 Comments