Msanii wa Nigeria Kiss Daniel adai ameanza kumjua Harmonize kabla ya Diamond.

Msanii kutoka Nigeria ,Kiss Daniel ambaye hivi karibuni alikuja kufanya show Tanzania amedai kuwa alianza kumsikia na kumjua Harmonize kabla ya Diamond.
Kiss alifunguka hayo kwenye mahojiano yake baada ya kuulizwa wasanii gani anaowapenda ndani ya Bongo na kuwataja wawili hao na kudai kuwa alianza kusikia nyimbo za Harmonize kabla ya kusikia nyimbo za boss wa msanii huyo ambaye ni Diamond Platnumz.
I love Harmonize,I love Diamond,basically Diamond and Harmonize i love them both,they are really doing good.Actually i heard Harmonize before I heard Diamond,then i heard that Diamond is his boss ” alifunguka Kiss Daniel

Post a Comment

0 Comments