Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa yuko njiani kwenda ku shoot video ya wimbo wake aliofanya na staa wa R&B,Ne-Yo.
Akimjibu shabiki aliyemdiss kwamba anamuiga Ne-Yo,Diamond aliandika,“ Not only copying him, and now in the flight heading to Los Angeles to shoot my new Video Ft. Him ”
Shabiki huyo alimdiss Diamond kwenye instagram kwa kuandika ““You are good and talented in your own way n I love you n ur songs but u should stop copying @neyo… Be ueself boy @diamondplatnumz .” ambapo baada ya kujibiwa comment yake na Diamond alionyesha kufurahia na kuandika tena “ @diamondplatnumz n the rest.. Safe flight n am glad you read my comment n that’s my stand.. Haha be blessed.. I ain’t shaken boo. ”
0 Comments