Hiki ndicho alichosema meneja Wa kimataifa Wa Diamondplutnumz baada ya Ali Kiba ku parfome kwenye show yao Nje ya nchi

International Meneja wa Diamond Platnumz  ‘Sallam Sk’ ameongea na Katepahot Kupitia mtandao leo kuhusu Ali Kiba kufanya show kama msanii wa kushtukiza kwenye jukwa moja na Diamond Platnumz.

Sallam anasema “Sisi hatukuambiwa kama Ali Kiba atakuwepo kwenye show kwa hio Ali Kiba alikuwa kwenye show kama Suprise, nashukuru muziki wetu wa Tanzania unazidi kukua, tulichofanya ni kitu mkataba wetu umesema tufanye , na tuliperform kwa saa mbili, hawakuandika Diamond is a Tanzanian artist, ila waliandika International Artist, kama alitangazwa Diamond pekee yake, akaje msanii mwingine pia hio ni sawa tu

Hii ni hatua nyingine inayothihirisha kuwa ladba hakuna beef kati yao na kwamba wote wanakubalika kama wasanii wa kimataifa…..

Post a Comment

0 Comments